Featured Post

KITUMBO:MAWASILIANO MADHUBUTI YA KIUTAWALA NI SIRI YA MAFANIKIO

Na Paul Christian, Tabora. Mawasiliano mazuri ya kiutawala baina ya wenyeviti na watendaji wa mitaa na wananchi ni jambo muhimu kat...

Saturday, January 2, 2016

KATIKA HISTORIA:KITI ALICHOTUMIA MBUNGE WA TABORA MJINI 2005-2010

Kiti kilichotumiwa na Siraju Kaboyonga
Hiki ni kiti kilichotumiwa na Mbunge wa Jimbo la Tabora mjini Siraju Juma Kaboyonga (2005-2010) kwenye ofisi yake iliyokuwa kwenye jengo la ofisi ya mkuu wa wilaya ya Tabora. 

Mbunge huyo alizaliwa tarehe 31 Agosti,1949 na kufariki dunia tarehe 11 Disemba,2012 jijini Dar es Salaam.

Atakumbukwa kwa sera zake za uwazi na ukweli kwa wapiga kura wake hakupenda kumung'unya maneno na kuingiza siasa za uongo pale anapokutana na jambo.



Hili ni Gofu la jengo lililotumika kama hospitali ya kutibu wazungu na Mapadri wakati wa utawala wa Wajerumani, Jengo hili lipo barabara ya shule jirani na ofisi za chuo cha VETA Kanda ya Magharibi mjini Tabora.

No comments: