![]() |
Kiti kilichotumiwa na Siraju Kaboyonga |
Mbunge huyo alizaliwa tarehe 31 Agosti,1949 na kufariki dunia tarehe 11 Disemba,2012 jijini Dar es Salaam.
Atakumbukwa kwa sera zake za uwazi na ukweli kwa wapiga kura wake hakupenda kumung'unya maneno na kuingiza siasa za uongo pale anapokutana na jambo.
No comments:
Post a Comment