Featured Post

KITUMBO:MAWASILIANO MADHUBUTI YA KIUTAWALA NI SIRI YA MAFANIKIO

Na Paul Christian, Tabora. Mawasiliano mazuri ya kiutawala baina ya wenyeviti na watendaji wa mitaa na wananchi ni jambo muhimu kat...

Monday, January 25, 2016

KOMBE LA SHIRIKISHO:RHINO RANGERS YAITUNGUA KAGERA SUGAR....RATIBA YA FA CUP UINGEREZA

TIMU ZA RHINO RANGERS NA KAGERA SUGAR


Na Ramadhan Faraji, Tabora

Timu za Rhino Rangers na Kagera Sugar kwenye uwanja wa Ally Hassan Mwinyi zilisimama kimya kwa dakika moja kuomboleza kifo cha shabiki maarufu wa Rhino Rangers  Shaban Maelezo kabla ya mechi baina ya timu hizo kuwania kusonga mbele kwenye michuano ya kombe la Shirikisho.

Katika mechi hiyo Maafande wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ Rhino Rangers waliikamua miwa ya Kagera baada ya kuizamisha Kagera Sugar kwa jumla ya magoli 6 kwa 4 baada ya kukamilisha dakika 90 kwa kufungana bao 1 kwa 1.

Sare hiyo iliamuliwa kwa mikwaju ya Penati  ambapo Rhino Rangers iliibuka na penati 5 kwa 3 za Kagera Sugar.

RATIBA YA KOMBE LA FA NCHINI UINGEREZA

Ijumaa  29 Januari, 2016
1.
Derby County
v
Manchester United
Jumamosi 30 Januari,2016
1.
Colchester United
v
Tottenham Hotspur
2.
Portsmouth
v
Bournemouth
3.
Bolton Wanderers
v
Leeds United
4.
Reading
v
Walsall
5.
Oxford United
v
Blackburn Rovers
6.
Bury
v
Hull City
7.
Shrewsbury Town
v
Sheffield Wednesday
8.
Aston Villa
v
Manchester City
9.
Arsenal
v
Burnley
10.
Crystal Palace
v
Stoke City
11.
West Bromwich Albion
v
Peterborough United
12.
Nottingham Forest
v
Watford
13.
Liverpool
v
West Ham United
Jumapili 31 Januari, 2016
1.
Carlisle United
v
Everton
2.
MK Dons
v
Chelsea

No comments: