![]() |
JUAN MATA AKISHANGILIA BAO LA PILI |
Wachezaji
vinara waliyoifungia Manchester United ni Chris Smalling aliyefunga bao la kwanza katika
dakika ya 37, Juan Mata alitikisa nyavu za wapinzani na kuandika bao la pili kunako
dakika ya 47 na goli la tatu na la ushindi lilipachikwa na Jesse Lingard katika
dakika ya 61 ya mchezo.
Robo
fainali ya kombe la FA itatimua vumbi tarehe 12 ya mwezi ujao ambapo Manchester United ikiwa kwenye uwanja wake wa
nyumbani wa Old
Trafford itaikaribisha West Ham United.
Katika
hatua hiyo ya robo fainali (au nane bora) Everton
wakiwa nyumbani Goodison Park wataikaribisha Chelsea,Reading watakuwa kwenye uwanja wao wa Madejski
wakivaana na Crystal Palace na timu ya Wartford inasubiri mshindi wa mechi ya marudiano
kati ya Arsenal na Hull City itakayochezwa Jumanne ya tarehe 8 mwezi ujao baada
ya kutoka suluhu ya kutokufungana siku ya Jumamosi.
RATIBA YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA
JUMANNE 23 Februari
2016
|
Juventus
|
v
|
FC Bayern Munchen
|
Juventus Stadium
|
22:45
|
|
Arsenal
|
v
|
Barcelona
|
Emirates Stadium
|
22:45
|
|
JUMATANO 24 Februari 2016
|
Dynamo Kyiv
|
v
|
Manchester City
|
Kiev Olympic Stadium
|
22:45
|
|
PSV
|
v
|
Atletico de Madrid
|
Philips Stadion
|
22:45
|
No comments:
Post a Comment