Na Ramadhan Faraji, Tabora.
Ligi
daraja la tatu ngazi ya mkoa wa Tabora imeendelea Jumapili jioni kwenye uwanja
Ally Hassan Mwinyi kwa kuwakutanisha wafunga buti maafande wa JKT Msange na
Tabora FC “Watoto wa Mjini.”
Mechi
hiyo ilikuwa ya kiufundi zaidi kwa timu zote mbili na mara kadhaa zilionekana kukamiana
kwa kutumia nguvu katika ukabaji na ushambuliaji.
Hadi
mwisho wa mechi hiyo si JKT Msange wala Tabora FC “Watoto wa Mjini” waliofanikiwa
kuona lango la mpinzani wake na hivyo kuufanya ubao wa matokeo kusomeka JKT
Msange 0 v 0 Tabora FC.
MSIMAMO WA KUNDI B LIGI DARAJA LA TATU NGAZI YA MKOA.
#
|
TEAM
|
PTS
|
1.
|
JKT Msange
|
4
|
2.
|
Tabora FC
|
4
|
3.
|
Saba Saba FC
|
3
|
4.
|
Maji Maji FC
|
0
|
No comments:
Post a Comment