Featured Post

KITUMBO:MAWASILIANO MADHUBUTI YA KIUTAWALA NI SIRI YA MAFANIKIO

Na Paul Christian, Tabora. Mawasiliano mazuri ya kiutawala baina ya wenyeviti na watendaji wa mitaa na wananchi ni jambo muhimu kat...

Wednesday, February 3, 2016

KOMBE LA MFALME NCHINI HISPANIA “COPA DEL REY” BARCELONA YAFANYA KUFURU YA MAGOLI



LUIS SUAREZ NA LIONEL MESSI WAPIGA HAT-TRICK

Mechi ya kwanza ya Nusu fainali ya Kombe la Mfalme Copa Del Rey nchini Hispania imezikutanisha timu za Barcelona na Valencia.

Katika mechi hiyo yameshuhudiwa magoli 7 yakifungwa ambapo  Lionel Messi amefunga magoli 3 na Luis Suarez magoli 4.

Magoli hayo 7 yameufanya ubao wa matangazo kusomeka Barcelona 7 na Valencia 0 hadi filimbi ya mwisho inapulizwa.

Katika mechi ya marudiano itakayochezwa terehe 10 mwezi huu inaifanya Valencia kufunga magoli zaidi ya 8 ili iweze kusonga mbele kwenye hatua ya fainali.
Leo nusu fainali ya pili itazikutanisha timu za Sevilla na Celta Vigo mechi itakayochezwa majira ya saa 4:30 usiku kwa saa za afrika Mashariki.

No comments: