Na
Ramadhan Faraji, Tabora.
Rhino
Rangers yenye masikani yake mjini Tabora itapimana ubavu na watoto Julio Mwadui
FC kwenye hatua ya 16 bora ya Kombe la shirikisho la Soka Tanzania (TFF),
Maarufu kama Azam Sports Federation Cup itakayoanza kutimua vumbi tarehe 26
mwezi huu.
Mechi
hiyo itapigwa tarehe 27 mwezi huu ambapo Rhino Rangers watabeba vifaa vyao vya
kivita kuifuata Mwadui FC nyumbani kwao Shinyanga.
Maafande
hao wa Rhino Rangers wanakila sababu ya kuzikonga nyoyo za mashabiki wake baada
ya timu hiyo kutofanya vizuri kwenye ligi daraja la kwanza iliyomalizika
mwishoni mwa wiki.
RATIBA
YA MECHI NYINGINE NI KAMA IFUATAVYO
Februari
26, 2016
Ndanda FC Vs JKT Ruvu (Nangwanda, Mtwara)
Coastal Union Vs Mtibwa Sugar (Mkwakwani, Tanga)
Februari 27, 2016.
Mwadui FC Vs Rhino Rangers (Mwadui, Shinyanga)
Ndanda FC Vs JKT Ruvu (Nangwanda, Mtwara)
Coastal Union Vs Mtibwa Sugar (Mkwakwani, Tanga)
Februari 27, 2016.
Mwadui FC Vs Rhino Rangers (Mwadui, Shinyanga)
Prisons Vs Mbeya City
(Sokoine, Mbeya)
Februari 28, 2016
Simba SC Vs Singida United (Taifa, Dar es Salaam)
Panone FC Vs Azam FC (Ushirika, Moshi)
Toto African Vs Geita Gold (Kirumba, Mwanza)
Machi 1, 2016
Yanga SC Vs JKT Mlale (Taifa, Dar es Salaam)
Februari 28, 2016
Simba SC Vs Singida United (Taifa, Dar es Salaam)
Panone FC Vs Azam FC (Ushirika, Moshi)
Toto African Vs Geita Gold (Kirumba, Mwanza)
Machi 1, 2016
Yanga SC Vs JKT Mlale (Taifa, Dar es Salaam)
No comments:
Post a Comment